ANAWEZA KUKUPONYA

Musa na wana wa Israeli walipokwisha kutoka Bahari ya Shamu na kufika Mara, Bwana akamwambia Musa hivi:
« Mimi ndimi Bwana nikuponyaye. »(Kutoka 15:26)

Licha ya mateso yako, kimwili, kiadili au kiroho, Mungu anaweza kukuponya.
Kisha jikabidhi kwa Mungu baba yako umuombe akuponye au awaponye wagonjwa wengine unaowajua, atafanya hivyo kwa sababu ya upendo wake kwa watoto wake na kwa utukufu wake.

OMBI:
Baba yetu uliye mbinguni, utuponye na mateso yetu yote.
Ni katika jina la thamani la mwanao Yesu Kristo tunaomba, Amina.

THE LION OF JUDAH MINISTRY IN THE WORLD©
thelionofjudahmission@gmail.com
☏: +250730900900
KIGALI – RWANDA

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *